Showing posts with label SHERIA. Show all posts
Showing posts with label SHERIA. Show all posts

Thursday, 15 October 2015

USINYANYASWE NDUGU FANYA HAYA UWAPO MIKONONI MWA POLISI






Wengi hatujui haki zote na hii hupelekewa mtu kuonewa bila sababu. Soma hapa ujue haki zako uwapo mikononi kwa polisi.













( 1 )Askari  akikuweka   chini ya ulinzi  muulize  kitambulisho  ni  haki yako.

( 2 )Askari akikukamata akuoneshe  kitambulisho chenye muhuri wa mahakama  kama anasema ametumwa na mahakama kukumata, ni haki yako.

( 3 )Askari akikukamata akwambie kwanini anakukamata  na anakupeleka kituo gani, ni haki yako.

( 4 )Unaruhusiwa  na sheria kukataa kukamatwa hata kutumia nguvu kama hukuambiwa  sababu  ya  kukamatwa.

( 5 ) Askari anapokiuka taratibu za ukamataji anageuka na kuwa  mhalifu  ni haki  yako kujikinga naye.

( 6 )Askari haruhusiwi  kukuvuta shati, kukukaba koo, kukushika suruali kama hujakataa kutii amri  halali.

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...