Showing posts with label VIDEO. Show all posts
Showing posts with label VIDEO. Show all posts
Sunday, 10 January 2016
DINA MARIOS:KATIKA MAISHA HAKUNA HALI YA KUDUMU
Nimependa sana hizi video za Dina Marios kwani zinaeleza ukweli halisi wa maisha tunayoishi na tunavyogeukwa na watu tuliowapenda na kuwajali. Hii huwa ni somo na njia ya kukuondoa katika level moja kwenda nyingine.Inaweza ikawa una mawazo mengi ambayo ukiyafanyia kazi unabadilisha kabisa maisha yako.Tuchukulie yale yote yanayotutokea kama njia ya kubadilisha level za maisha tuliyokuwa tunaishi awali kutoka misha yasiyoeleweka na kuishi maisha ya kueleweka na yaliyo bora zaidi.Ni video za kuangalia na utajifunza kitu. Asante sana Dina kwa ukweli uliouandika.
Saturday, 7 November 2015
Saturday, 6 June 2015
Monday, 4 May 2015
Sunday, 3 May 2015
Wednesday, 29 April 2015
Tuesday, 14 April 2015
WANAWAKELIVE: VILIO VYA WANAWAKE WAJANE KUDHULUMIWA MALI WALIZOCHUMA NA WAUME ZAO
Nadhani ni wakati mwafaka wa kuwa
na taasisi/vyombo vingi visivyo vya kiserikali ili kushughulikia maswala ya
sheria za mirathi kwa wanawake wajane. Inasikitisha kuona mwanamke amechuma mali
na mumewe kwa taabu ndugu za mume wakiwa na yao halafu anapofariki mume wao
wanajileta kurithi mali.Mali ipi hapa? Jamani watu hawana aibu hivi. Marehemu
kaacha mke na watoto wake na hao ndiyo warithi halali wa mali. Sasa hawa ndugu
za mume wakichukua mali ambayo wala hawakuichuma,watoto wataishi vipi? Watu
waache kubweteka na kusubiri mali za kurithi.
Nimeupenda ujasiri wa mwanamke wa
mwisho katika video hiyo hapo juu.Yeye aliamua kukomaa na wapenda vya
bure.Tuwasaidie wale wasioelewa haki zao.
Mwanaume jasiri hutafuta mali
yake mwenyewe kwa jasho lake na mtegemea cha ndugu siku zote,hufa masikini.
Badilikeni!
Tuesday, 7 April 2015
Survivor Tales; Cynthia Cherotich who lived to tell her tale
Cynthia Cherotich was certainly one of the lucky ones, who managed to walk off the Garissa University College campus after Al shabaab militants massacred over 140 of her colleagues.Victoria Rubadiri with her story of unbelievable resilience and hope to live another day.
Wednesday, 11 February 2015
YEMI ALADE - JOHNNY
Johnny leaves me follow Cynthia
And i don’t know what to do
And he talk say i no do am
Like the way Cynthia dey do
Sunday, 21 December 2014
Saturday, 22 November 2014
JE, HALI YA ELIMU MJINI TANGA IKOJE?
Nimefurahi kuwaona walimu wangu wakiongea katika video hii.
Wa kwanza ni Mrs Rajyagur, ambaye alikuwa mwalimu wangu wa
kiingereza katika shule ya msingi Darajani(zamani Agakhan),Tanga.
Na wa pili ni mwalimu Mwaeshu,ambaye alikuwa ni mwalimu wangu wa
Kiswahili katika shule ya sekondari,Usagara.
Sunday, 16 November 2014
Thursday, 2 October 2014
Wednesday, 17 September 2014
Friday, 18 July 2014
Thursday, 5 June 2014
Wednesday, 4 June 2014
MJUE MECK KHALFAN,MTANZANIA ALIYEGUNDUA CHARGER KWA JINA LA "PUKU"
Kama unatarajia kuwa katika mazingira ambayo hakuna umeme wa uhakika hasa
kwa wale wenye iphone, tablets na kifaa chochote kinachochajiwa kwa kutumia usb |"PUKU" ndiyo mpango mzima.Sikiliza vizuri hapa kwa kuelewa vizuri.
kwa wale wenye iphone, tablets na kifaa chochote kinachochajiwa kwa kutumia usb |"PUKU" ndiyo mpango mzima.Sikiliza vizuri hapa kwa kuelewa vizuri.
Thursday, 29 May 2014
Wednesday, 21 May 2014
Subscribe to:
Posts (Atom)
PALM TREES ARE BEAUTIFUL
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...

-
Dar es Salaam: Mwekezaji Sheikh Salim Abdullah ametangaza kuwekeza kwenye Uwanja Wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere Dar es Salaam (JN...
-
1. PASTA Hiki ni chakula cha haraka.Unaweza kutayarisha pasta kwa kuongeza tu protini ulizonazo katika jokofu lako mfano kuku...
-
No 10 : Oriens By Van Cleef & Arpels No 9 : Love Sweet Love By Philosophy Love Sweet Love by Philosophy is an ideal summer perfum...