Showing posts with label MATANGAZO. Show all posts
Showing posts with label MATANGAZO. Show all posts

Friday, 26 December 2014

PATA NGUO ZA KIKE, KIUME NA WATOTO KUTOKA NEEMA CLASSIC FASHION TANGA

Kwa mahitaji ya nguo,mikoba(handbags).viatu kwa wanawake na nguo za watoto na wanaume,waone NEEMA CLASSIC FASHION waliopo jijini Tanga.
Wanapatikana India Street,simu namba +255 715 306551
                                                            +255 784 306561
Vitenge na nguo za watoto

Saturday, 13 December 2014

ITS NOW OR NEVER! VOTE FOR HAPPINESS WATIMANYWA FOR MISS WORLD 2014 ON SUNDAY!


Miss Tanzania, Happiness Watimanywa

Watanzania popote pale mlipo duniani.Yamebaki masaa 25 kwa historia ya Tanzania kujiandika kwa mara nyingi.Tutumie masaa haya yaliyobakia kuandika historia hiyo.
Mpigie kura  Happiness Watimanywa, miss Tanzania, anayetuwakilisha katika mashindano ya Miss World nchini Uingereza hapo Kesho(Jumapili).
Mungu ibariki Tanzania,
Mungu ibariki Africa.
Kwa kutumia miss world app katika simu yako,fuata hatua hizi ili kupiga kura:

Thursday, 4 December 2014

TANGAZO: NYUMBA YA KUPANGA YENYE SIFA ZILIZOTAJWA,INAHITAJIKA HARAKA

Inahitajika nyumba ya kupanga haraka jijini Dar.
Maeneo
  • Kijitonyama
  • Kinondoni
  • Makumbusho
  • Mikocheni B.
  • Mwenge
  • Mwananyamala Komakoma
Aina ya nyumba:
  • Iwe na vyumba 2 vya kulala(kimoja kiwe master)
  • sebule
  • jiko
  • choo cha jumuiya
  • Umeme wa luku inayojitegemea
  • Maji
Kwa mwenye nyumba wasiliana na 0714 686 686

Thursday, 4 September 2014

NYUMBA INAPANGISHWA JIJINI TANGA


Foto










Nyumba inapangishwa jijini Tanga.Nyumba ipo barabara ya Eckenforde karibu na ilipokuwa klabu ya Limbachia.Ni nyumba kubwa ambayo imezungushiwa uzio na inaweza kutumiwa kwa makazi au ofisi.
Ina 6 bedrooms ambapo moja ni master,2 toilets and bathroom,kitchen, a big sitting room,A big dining room.
Kama unahitaji maelezo zaidi wasiliana na   
0715 286 088 au
0714 686 686



Wednesday, 16 July 2014

MTOTO AIBIWA LEO CHANGANYIKENI

Mtoto kaibiwa leo Changanyike anaitwa Marlyn atakaemuona anaombwa atoe taarifa katika kituo chochote cha Polisi, na mtu aliyemuiba mtoto ni mkaka kanyoa pank na baade akakodi boda boda.
Ukiona ujumbe huu sambaza kwa mwingine, na atakaemuona apige namba hii 
0786 888808.

Saturday, 12 July 2014

ANNOUNCEMENT: APARTMENT AVAILABLE FOR RENT


We have a 3 Bedroom Apartment available at Kariakoo for RENT; Below are the details: •Closed Kitchen Apartment •3 Bedroom with 2 Full Bathrooms •Store Space for Dry Kitchen or Washing Area •Furniture available upon request but shall have extra charges Amenities available at the Premises: •Backup Generator •24/7 Water Supply •4 Levels on Parking •CCTV Security Surveillance for more photos visit; www.facebook.com/Barelawyer Properties Real Estate Ready to Move In, Pricing: tshs. 650,000/month Payments i.e. CASH or INSTALLMENTS.

For Viewing; Contacts; +255 715 547184 +255 783 547184

Tuesday, 1 October 2013

RATCO EXPRESS KWA SAFARI ZA KILA SIKU KATI YA TANGA NA DAR!

Foto: RATCO EXPRESS RATIBA YA SAFARI ZETU ZA KILA SIKU TANGA KWENDA DAR NA KUTOKA DAR KUJA TANGA. KAMA IFUATAVYO: 
 SAA 12:30 ASUBUHI
 SAA 02:00 ASUBUHI
 SAA 03:30 ASUBUHI
 SAA 05:00 ASUBUHI
 SAA 07:30 MCHANA
 SAA 09:30 ALASIRI 
 SAA 11:00 JIONI

Foto: ratco vip class.

Foto: muonekano wa ndani wa vip class

RATCO EXPRESS RATIBA YA SAFARI ZETU ZA KILA SIKU TANGA KWENDA DAR NA KUTOKA DAR KUJA TANGA  KAMA IFUATAVYO: 
SAA 12:30 ASUBUHI


SAA 02:00 ASUBUHI

SAA 03:30 ASUBUHI

SAA 05:00 ASUBUHI

SAA 07:30 MCHANA

SAA 09:30 ALASIRI 

SAA 11:00 JIONI

Thursday, 5 September 2013

WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA CHUO KIKUU CHA MUCCoBS 2013/2014


HII  NI  ORODHA YA  MAJINA  YA  WANAFUNZI  WALIOCHAGULIWA  KUJIUNGA  NA  CHUO  KIKUU CHA MUCCoBS.   2013/2014

KU-DOWNLOAD      BOFYA  HAPA

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...