Showing posts with label CELEBRITIES. Show all posts
Showing posts with label CELEBRITIES. Show all posts

Saturday, 18 November 2017

PICHA:ARUSI YA SERENA WILLIAMS

Mchezaji tennis wa kike namba moja duniani Serena Williams,amefunga ndoa na mchumba wake Alexis Ohanian.Serena alivalisha na Alexander McQueen

Saturday, 3 September 2016

Friday, 15 January 2016

MUME WA CELINE DION AFARIKI DUNIA

Rene

Rene Angelil, mume wa mwanamuziki mashuhuri duniani Celine Dion, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 73, mwanamuziki huyo ametangaza.
Bw Angelil, aliyemuoa Dion mwaka 1994 na wakajaliwa watoto watatu, amekuwa pia akihudumu kama meneja wake.

Thursday, 26 November 2015

LIONEL RICHIE AKILA BATA

Nguli wa muziki duniani,Lionel Richie,akila bata na mpenzi wake aitwae Lisa Parigi ambae ni mwanamitindo

Wednesday, 23 September 2015

HARUSI YA MANAGER WA SAUTI SOL ILIVYOKUWA KWENYE BUSTANI ZA KENYA


Good news kwa watu wa nguvu ambao +254 Kenya  inayatambua majina yao ambayo yako kwa wino mzito kabisa kwenye Industry ya Entertainment Kenya, wa kwanza ni  Annabel Onyango ambae ni Mwanamitindo staa kabisa kutoka Kenya… mwingine ni Marek Fuchs ambae ni Manager wa Group la Mastaa wakali kabisa, Sauti Sol.
Majina ya wawili hao, yani Annabel na Marek sasahivi wanazungumziwa tofauti, wamekuwa kwenye uhusiano wa Kimapenzi kwa zaidi ya miaka nane na sasahivi ninazo pichaz mtu wangu, uthibitisho tosha kabisa kwamba wao sasahivi ni mtu na mume wake.
Kama bado hujakutana nazo, unaweza kuzicheki hapa mwanzo mwisho pamoja na baadhi ya mastaa wa +254 waliokula mwaliko wa nguvu kabisa ikiwemo Sauti Sol wenyewe !

Monday, 21 September 2015

KWA MARA YA KWANZA TIFFAH LIVE!

Staa wa Bongo Fleva,  Nasibu Abdul ‘Diamond’ na mzazi mwenzake Zarina Hassan ‘Zari The Boss Lady’ wakimtoa mtoto wao, Latiffah Nasibu 'Princes Tiffah'.
  • Sherehe yake ya 40 usipime, Zari, Diamond waandika historia
Na waandishi wetu
YAMETIMIA! Baada ya kutoonekana sura kwa zaidi ya siku 40 tangu azaliwe, hatimaye mtoto wa mkali wao ndani ya Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Latifah ‘Tiffah’ ameonekana hadharani (live), Ijumaa Wikienda linakuwa la kwanza kuripoti.

Sunday, 20 September 2015

Thursday, 2 July 2015

CELEBRITIES: PALEMCHUCHUMIO ULIPOSABABISHA MARIAH CAREY AJIKWAE!

Hii ilitokea huko Uhispania ambapo Marih Carey na rafiki yake wa kiume,bilionea James Packer, walipokuwa mapumzikoni.

Awkward: James Packer watched on as Mariah Carey took a tumble down the stairs of his super yacht, the Arctic P, on Wednesday in Formentera, Ibiza
Mariah alipojikwaa huku James Packer akiangalia kutokea katika boti

Super stylish: Mariah did manage to fall in style, wearing a provocative swimsuit with a plunging neckline
Akipata msaada ili asianguke

Saturday, 13 June 2015

PRINCE CARL PHILIP WA SWEDEN KUFUNGA NDOA NA SOFIA HELLQVIST



Prince Carl Philip wa Sweden anatarajia kufunga ndoa leo na mchumba wake Sofia Hellqvist.
Ndoa hiyo itafungwa jijini Stockholm na kuhudhuriwa na wageni mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali duniani.
Rainbow-tz blog inawatakia Prince Carl Philip na Sofia kila heri katika siku hii kubwa  katika maisha yao.

                               Grattis!!!

Tuesday, 2 June 2015

DUNIANI KUNA MAMBO,KUTOKA BRUCE JENNER KUWA CAITLYN

Bruce Jenner, ambae alikuwa ni mume wa Chris Jenner ametokea katika cover la gazeti la  Vanity Fair akiwa katika mwonekano mwingine na jina lingine.Angalia hapa:
'
 Bruce Jenner


Caitlyn

Soma alichoandika katika akaunti yake tweeter na angalia video yake pia kwa
kubofya READ MORE

Thursday, 21 May 2015

THIS IS HOW LUPITA NYONGO MADE THE HEADLINES AGAIN

 Lupita Nyongo made an eye-catching appearance at the opening of the Cannes film festival – in a spectacular green dress.She wows in a green this time!
Lupita rocked in a jade green pleated Gucci gown with floral embellishments and a plunging neckline.
Nyong'o looked as elegant as ever, pairing her gown with a gold headband and Chopard drop earrings and rings.





For more photos click read more

Tuesday, 12 May 2015

THE GHANAIAN FIRST LADY AND HER FASHION SENSE

Being the wife of the first gentleman of the country is not an easy task, they must inspire not just morally but also fashion wise. They also presented themselves well (fashion-wise) wherever they found themselves.
Let’s look at how they looked and presented themselves during public appearances.

Fathia Nkrumah

http://globalfusionproductions.com/wp-content/uploads/2011/02/nkrumah.jpg
Fathia Nkrumah truly represented the era of the fifties, where women dress smartly and good grooming and tailored looks were prized.

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...