Mchezaji tennis wa kike namba moja duniani Serena Williams,amefunga ndoa na mchumba wake Alexis Ohanian.Serena alivalisha na Alexander McQueen
Showing posts with label CELEBRITIES. Show all posts
Showing posts with label CELEBRITIES. Show all posts
Saturday, 18 November 2017
Saturday, 3 September 2016
Friday, 15 January 2016
MUME WA CELINE DION AFARIKI DUNIA
Rene Angelil, mume wa mwanamuziki
mashuhuri duniani Celine Dion, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka
73, mwanamuziki huyo ametangaza.
Bw Angelil, aliyemuoa Dion mwaka 1994 na wakajaliwa watoto watatu, amekuwa pia akihudumu kama meneja wake.Thursday, 26 November 2015
LIONEL RICHIE AKILA BATA
Nguli wa muziki duniani,Lionel Richie,akila bata na mpenzi wake aitwae Lisa Parigi ambae ni mwanamitindo
Friday, 25 September 2015
Wednesday, 23 September 2015
HARUSI YA MANAGER WA SAUTI SOL ILIVYOKUWA KWENYE BUSTANI ZA KENYA
Good news kwa watu wa nguvu ambao +254 Kenya inayatambua majina yao ambayo yako kwa wino mzito kabisa kwenye Industry ya Entertainment Kenya, wa kwanza ni Annabel Onyango ambae ni Mwanamitindo staa kabisa kutoka Kenya… mwingine ni Marek Fuchs ambae ni Manager wa Group la Mastaa wakali kabisa, Sauti Sol.
Majina ya wawili hao, yani Annabel na Marek sasahivi
wanazungumziwa tofauti, wamekuwa kwenye uhusiano wa Kimapenzi kwa zaidi
ya miaka nane na sasahivi ninazo pichaz mtu wangu, uthibitisho tosha
kabisa kwamba wao sasahivi ni mtu na mume wake.
Kama bado hujakutana nazo, unaweza
kuzicheki hapa mwanzo mwisho pamoja na baadhi ya mastaa wa +254
waliokula mwaliko wa nguvu kabisa ikiwemo Sauti Sol wenyewe !
Tuesday, 22 September 2015
Monday, 21 September 2015
KWA MARA YA KWANZA TIFFAH LIVE!
Staa wa Bongo Fleva, Nasibu
Abdul ‘Diamond’ na mzazi mwenzake Zarina Hassan ‘Zari The Boss Lady’
wakimtoa mtoto wao, Latiffah Nasibu 'Princes Tiffah'.
- Sherehe yake ya 40 usipime, Zari, Diamond waandika historia
YAMETIMIA! Baada ya kutoonekana sura kwa zaidi ya siku 40 tangu azaliwe, hatimaye mtoto wa mkali wao ndani ya Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Latifah ‘Tiffah’ ameonekana hadharani (live), Ijumaa Wikienda linakuwa la kwanza kuripoti.
Sunday, 20 September 2015
Thursday, 2 July 2015
CELEBRITIES: PALEMCHUCHUMIO ULIPOSABABISHA MARIAH CAREY AJIKWAE!
Hii ilitokea huko Uhispania ambapo Marih Carey na rafiki yake wa kiume,bilionea James Packer, walipokuwa mapumzikoni.

Mariah alipojikwaa huku James Packer akiangalia kutokea katika boti

Akipata msaada ili asianguke
Mariah alipojikwaa huku James Packer akiangalia kutokea katika boti
Akipata msaada ili asianguke
Saturday, 13 June 2015
PRINCE CARL PHILIP WA SWEDEN KUFUNGA NDOA NA SOFIA HELLQVIST
Prince Carl Philip
wa Sweden anatarajia kufunga ndoa leo na mchumba wake Sofia Hellqvist.
Ndoa hiyo itafungwa
jijini Stockholm na kuhudhuriwa na wageni mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali
duniani.
Rainbow-tz blog
inawatakia Prince Carl Philip na Sofia kila heri katika siku hii kubwa katika maisha yao.
Grattis!!!
Tuesday, 2 June 2015
DUNIANI KUNA MAMBO,KUTOKA BRUCE JENNER KUWA CAITLYN
Bruce Jenner, ambae alikuwa ni mume wa Chris Jenner ametokea katika cover la gazeti la Vanity Fair akiwa katika mwonekano mwingine na jina lingine.Angalia hapa:
'
Bruce Jenner

Caitlyn
Soma alichoandika katika akaunti yake tweeter na angalia video yake pia kwa
kubofya READ MORE
'
Bruce Jenner
Caitlyn
Soma alichoandika katika akaunti yake tweeter na angalia video yake pia kwa
kubofya READ MORE
Thursday, 21 May 2015
THIS IS HOW LUPITA NYONGO MADE THE HEADLINES AGAIN
Lupita Nyongo made an eye-catching appearance at the opening of the Cannes film
festival – in a spectacular green dress.She wows in a green this time!
Lupita rocked in a jade green pleated Gucci gown with floral
embellishments and a plunging neckline.
Nyong'o looked as elegant as ever, pairing her gown with a
gold headband and Chopard drop earrings and rings.
For more photos click read more
Friday, 15 May 2015
Tuesday, 12 May 2015
THE GHANAIAN FIRST LADY AND HER FASHION SENSE
Being the wife of the first gentleman of the country is not an easy task, they must inspire not just morally but also fashion wise. They also presented themselves well (fashion-wise) wherever they found themselves.
Let’s look at how they looked and presented themselves during public appearances.
Fathia Nkrumah
Fathia Nkrumah truly represented the era of the fifties, where women dress smartly and good grooming and tailored looks were prized.
Thursday, 16 April 2015
Subscribe to:
Posts (Atom)
PALM TREES ARE BEAUTIFUL
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...

-
Dar es Salaam: Mwekezaji Sheikh Salim Abdullah ametangaza kuwekeza kwenye Uwanja Wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere Dar es Salaam (JN...
-
1. PASTA Hiki ni chakula cha haraka.Unaweza kutayarisha pasta kwa kuongeza tu protini ulizonazo katika jokofu lako mfano kuku...
-
No 10 : Oriens By Van Cleef & Arpels No 9 : Love Sweet Love By Philosophy Love Sweet Love by Philosophy is an ideal summer perfum...