Showing posts with label UKWELI. Show all posts
Showing posts with label UKWELI. Show all posts

Monday, 16 November 2015

NIMEPENDA HII KUTOKA KWA DINA MARIOS


Dina Marios
Maisha haya kila mmoja anasafari yake namna atakavyo anza na namna atakamaliza ni Mungu ndio anajua.Kwa mfano kuna mtu atamaliza chuo akiwa na miaka 20 ata struggle kwa miaka 5 kupata kazi.Mwingine atamaliza akiwa na miaka 25 na akapata kazi mapema tu baada ya kumaliza chuo.Mwingine anaweza kuolewa bikira na kusubiri miaka 10 kupata mtoto..mwanamke mwingine alotoa mimba kibao huko nyuma anaolewa na kushika ujauzito hapo hapo.Jamaa mmoja anakuwa MD katika kampuni akiwa na miaka 38 na kufariki akiwa na miaka 56,jamaa mwingine anakuwa MD akiwa na miaka 50 na anaishi mpaka miaka 90.

Thursday, 15 October 2015

HOW STRESS AND WORRY IS COMPARED TO A GLASS OF WATER




A psychologist walked around a room while teaching stress management to an audience. As she raised a glass of water, everyone expected they'd be asked the "half empty or half full" question. Instead, with a smile on her face, she inquired: "How heavy is this glass of water?"

Friday, 9 October 2015

JE, UNATUMIA GESI KUPIKIA? SOMA HAPA




Je unatumia gas kwa kupikia?
Tafdhali soma ujumbe huu na uchukue tahadhari ili isitokee kwako. Hili linaweza kuwa ni kosa la kawaida katika kila nyumba.

JINSI ILIVYOTOKEA.
Jiko la gas lilikuwa linawaka na mapishi yakiendelea.
mama akaona mende jirani na sinki la kuoshea vyombo. Mara akachukua kopo la dawa ya mbu na kupuliza karibu na lile jiko la gas linalowaka.
Ulitoka mlipuko mkubwa na ndani ya muda mfupi yule mama alikuwa ameungua kwa asilimia 65.
Mumewe alikimbilia kuuzima ule moto na nguo zake nazo zilishika moto.
Mumewe bado yuko hospitali akiuguza majeraha ya moto na bado hana habari kwamba mke wake alifariki alipofikishwa tu hospitali.
Ni vema tukafahamu kuwa dawa zote za kuulia wadudu "Hit", "Marten", "heaven", "Raid" "rungu" n.k. zina mchanganyiko wa madawa mengi yanayosababisha mlipuko mkubwa.
Mchanganyiko huu wa madawa ni rahisi sana kusababisha mlipuko haraka sana.
Tafadhali elimisha wanafamilia yako na rafiki zako kuhusu jambo hili na sambaza ujumbe huu.

Thursday, 2 January 2014

Poll: Clinton, Obama, most admired


Hillary Clinton is the most admired woman among Americans for the 12th-straight year, according to a national poll. And for the sixth straight year, President Barack Obama ranks as the most admired man. Who do you admire the most?
SOURCE: CNN

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...